hawa Wajerumani wawili i.e. Ozil na Khadera.....ni mwiba sana kwa timu yeyote inayokutana na RM....duuhh
....gemu limeshaaanza....rafiki yangu Lukaku simuoni tena.......Moses ni bora sana .....
Nan ndo striker second half??!
Kwa jinsi nilivyoiona hii game so far:Game nzuri kujua mapungufu idara mbalimbali kwa kila timu.