Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Sijafanikiwa kuona kipindi cha kwanza ila cha pili hiki namuona isco anashangaa tu hapa
 
Catching a replay now. And the sleep is catching up with me. 20 minutes so far, not bad. Rafa is the right man.
 
Mkuu hakuna kilichochezwa jana Danilo na Isco walizingua sana asee hata hizo ni individual goals zote sio team kama team Ben10 amenikwaza sana jana na anaendelea kunipa wasiwasi
Nimeangalia first 60 kwa usingizi, sikuona cha kushtua. Marcelo combined with CR for the first goal, ile ni team. Danilo alikuwa rusty kiaina cuz ndio ametoka kwenye majeruhi.

Wapewe muda tu. Team iko ok. We imagine hakuna James, Modric, Ramos, na Benzo, ila tumeshinda kiulaini.

J5 finally nitaweza kucheki game live. Itakuwa kipimo kizuri sana.
 
Navas kwa sasa anamudu nafas yake beki s mbaya nikule mbele kuonyesha umakini subiri tucheki gemu na psg
 
Navas kwa sasa anamudu nafas yake beki s mbaya nikule mbele kuonyesha umakini subiri tucheki gemu na psg

Navas anachokifanya ndo nilichotaka watu wengi wakione na wajue kuwa tulikuwa hatuna haja ya DDG kabisa na pale mbele tunahitaji striker mwenye calibre ya Benz kama Aguero au Suarez hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…