Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread


The Bernabéu is holding a minute of silence in memory of Erzsébet Hunyadvári, Ferenc Puskas' wife, and Miguel González, Míchel's father.
 
I'm sick of this Arbeloa, sasa anapasha anataka kuingia wapi?
 

Nacho Fernandez Goal ~ Real Madrid vs Galatasaray 1 0 ~ Santiago Bernabeu Cup 2015 HD


 
Last edited by a moderator:
[h=1]Marcelo Fantastic Solo Goal | Real Madrid vs Galatasaray 2-1 | Trofeo Santiago Bernabeu 2015[/h]

 
Last edited by a moderator:

Sergio Ramos and Marcelo lifting the Bernabeu trophy.
 
I'm sick of this Arbeloa, sasa anapasha anataka kuingia wapi?

Hahahaha dah! Hilo swali ulivyoliuliza mzee.

Nilishindwa kucheki game yetu. Ikabidi nibaki kumuangalia kijana wetu Memphis Depay. Anakuja vizuri. Tumpe kama miaka miwili hivi.
 
Hahahaha dah! Hilo swali ulivyoliuliza mzee.

Nilishindwa kucheki game yetu. Ikabidi nibaki kumuangalia kijana wetu Memphis Depay. Anakuja vizuri. Tumpe kama miaka miwili hivi.
Haha.. Basi Man u wakikumbuka hii tendency ya kutuandalia vifaa inawauma.
Nadhani hata Hazard next summer ni wetu.Ideal replacement ya CR7
 
Hahahaha dah! Hilo swali ulivyoliuliza mzee.

Nilishindwa kucheki game yetu. Ikabidi nibaki kumuangalia kijana wetu Memphis Depay. Anakuja vizuri. Tumpe kama miaka miwili hivi.

Halafu wanasema Real Madrid haijali wachezaji wake, mi ninachoona sasa Arbeloa anabebwa tu kupewa heshima lakini kiwango hakuna tena. Jana dakika za mwisho tunaongoza bao 2 - 1, ikapigwa pasi ndefu yeye badala ya kuugonga mpira japo utoke yeye akawa anakimbizana na mtu, bahati tu man.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…