Halafu wanasema Real Madrid haijali wachezaji wake, mi ninachoona sasa Arbeloa anabebwa tu kupewa heshima lakini kiwango hakuna tena. Jana dakika za mwisho tunaongoza bao 2 - 1, ikapigwa pasi ndefu yeye badala ya kuugonga mpira japo utoke yeye akawa anakimbizana na mtu, bahati tu man.