Kikosi chetu dhidi ya Osasuna, Modric, Diaz, camavinga wameanza.
Kama wakiwa vizuri ningependa mechi ya city pia carlo aanze na kikosi hiki hiki, kasoro nafasi ya camavinga ndio angeaznza Ceballos.
Rodrigyo abaikibkama super sub.
Anyways tushinde hii mechi ili tujikite kileleni vizuri.
Halla Madrid