HT: Tuna kasi,tuna malengo ila hatuna mbinu,wachezaji wa eneo la ushambuliaji hawaaminiani,sehemu za mtu kutoa pass anataka apige yeye wakat yupo kwenye nafasi mbaya,sehemu yakuendeleza kasi mtu anapoozesha mpira..kimsingi hili ni tatizo la kocha kushindwa kutengeneza mifumo au mfumo wakutengeza nafasi..kwa mwendo huu siyo ajabu timu ikawa inaendelea kupata ushindi mwembamba au wakutegemea penalt(s)..na kwa namna hii sion kama Christmass ikimkutana babu carlo pale.