Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mpira kitu cha ajabu sana, Neuer amefanya saves nyingi kweli nyingine unaona kabisa angekuwa golikipa mwingine ingekuwa goli, ila mpira wa Vinicius ukamshinda kuudaka.,
 
Fainali ingekua tamu kama Madrid wangecheza na PSG
 
Jamaa aliona kama ameshamaliza game, ndio maana akafanya sub za kiboya vile, ninadhani aliamua kujilinda zaidi.
Mimi naona bado makocha wengi wataendelea kupokea vipigo vya dakika za jion nakushangaza hapa Bernabeu kwa sababu akili ya wadau wote wa madrid tunaamini mechi imeisha pale refa anapopuliza filimbi yakumaliza mchezo.

Ndo maana naamini kuwa "pale ambapo timu pinzani inaona imeikamata madrid katika mchezo,basi ukwel ni kuwa timu hiyo ndio imekamatwa na madrid imeilazimisha hiyo timu icheze hivyo ili madrid aweze kupata ushindi",

Matokeo ya namna hii yenye msisimko hayaji bahati mbaya wala bahati bali ndio tabia za club bora dunian namna inavyouendea mchezo nakutaka matokeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…