Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Najua fainal haitakuwa nyepesi kwa sababu hawa Dortmund wana vijana wengi sana na wana kazi balaa..

Natamani fainal pale golini awepo Thibo,kwa sababu uwezo wake wakusoma mwendo wa mchezaji ni mkubwa sana.

However,for now tusherehekee kufika fainal expecting tunaenda kuchukua ndoo ya 15.
 
Mpira kitu cha ajabu sana, Neuer amefanya saves nyingi kweli nyingine unaona kabisa angekuwa golikipa mwingine ingekuwa goli, ila mpira wa Vinicius ukamshinda kuudaka.,
 
Fainali ingekua tamu kama Madrid wangecheza na PSG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…