Hizi team kubwa zinafunguka, hizi team ndogo zinatusumbua kwasababu muda mwingi wanakaa nyuma, na sisi tuna tatizo, Ancelotti sijui ana tatizo ama ni kuamini wachezaji, kila game anaingia na mfumo ule ule na wachezaji wale wale, team kazi hizi za akina Granada, Getafe nk tunatakiwa tuingie na 4-4-2, tunakuwa na watu wengi kati, muda mwingi inatengenezwa mipango tu, jana ndio amejitahid akaanza na Isco,
Game dhidi ya team kubwa huwa ni tofauti, kwasababu na wao wanacheza.,