Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Timu unaweza sema ni kindai shooting inacheza...hovyo kbsa....mipira inafika eneo letu la 18 hakuna viungo wakabaji...yaan tunawapa room kubwa sana barca
 
kuna muda Bale alikuwa anatokea kushoto ilikuwa poa sana, akiendelea vile itamsaidia Marcelo asipande sana maana huyu beki huwa akiona mpira haupandi anaamua kupanda mwenyewe matokeo yake kutipigwa kaunta anabaki anatambaa tu
 
Hii sub ni hovyo kwa mtazamo wangu...toa Nacho ingiza Lucas ambaye huwa anaweza kukaa upande ule
 
Hii sub ni hovyo kwa mtazamo wangu...toa Nacho ingiza Lucas ambaye huwa anaweza kukaa upande ule
mkuu kwa mtazamo wangu leo Nacho hayuko vyema, na Lukas ni kijana mbishi haogopi jina la mchezaji. Ni sub nzuri
 
Lopetegui should've started Odriazola in a place of Nacho. I didn't see a good game from him previously. He became that old Nacho who were sitting on the bench 5 years ago.
 
The second half has started at the Camp Nou. COME ON LADS!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…