Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Deserved??? There's no such a thing in football... Only the winners are remembered... If they deserved wasingeruhusu goli dakika ya 94...if they deserved Griezman na Juanfran wasingekosa penalty... Madrid has been winning the champions league because of great squad ..great coaches... great mental strength ya wachezaji ..that never say die attitude especially kwenye knockout games... Sema kwenye league... Over a run of 38 games Madrid wana tabia ya ku lose concentration ndo mana wana drop points nying sana... Lakini kwenye champions league... Let nobody lie to you... We deserved everything we've won
 
Katika maisha kuna kipindi cha mpito na ndicho wanachopitia Real Madrid
Na kitaisha Baada ya msimu huu kwisha endeleeni kuvumilia wandugu
 
Katika maisha kuna kipindi cha mpito na ndicho wanachopitia Real Madrid
Na kitaisha Baada ya msimu huu kwisha endeleeni kuvumilia wandugu
haya mapito ya kujitakia haiwezakani Mariano awe replecement ya Ronaldo, mchezaji ambae hata Leicter city angekaa bench ,Benz nae ana zingua tu wanajifanya hawaoni
 
Mkuu uefa ni game of chance...ukibahatika kushinda nyumbani ns ugenini ukatoa draw, unaendelea stage ongine..

Kwaiyo madrid katembea sana kwenye izo game of chance..
 
Toni Kroos: "Two weeks of disappointing results, games and also bad luck. We deserved more points because we didn‘t play that bad -but it is what it is. Don’t forget we also had these moments in the past three years...
Will be a great challenge to stand up again! Hala Madrid!"



 
Real Madrid's next fixtures:

20/10 Levante

23/10 Viktoria Plzen

28/10 Barcelona

03/11 Valladolid

07/11 Viktoria Plzen

11/11 Celta Vigo





 
Los Blancos have just published their latest medical report on the 30-year-old French striker who limped off with a hamstring injury after Saturday's match against Alaves

"Following tests carried out today on our player Karim Benzema by the Real Madrid Sanitas medical team, he has been diagnosed with an injury to his right hamstring. His recovery will continue to be assessed."

Benzema could be sidelined for two to three weeks and his involvement in El Clasico is questionable. If he doesn't get well by Barca match, his place will be taken up by Mariano Diaz, Los Blancos' reserve striker.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…