Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread



Cristiano pia amepata awards nyingi kwa sababu ya kuchezea Real Madrid
 
Ooohh waaow hebu ona na wewe jamaa ni G.O.A.T


Ronaldo kulipwa billioni 1.6 kwa wiki - Millioni 10 kwa saa! . Baada ya jana kutangazwa kujiunga na klabu ya Juventus FC ya Turin Italia - sasa imeripotiwa kwamba Cristiano Ronaldo ataingiza jumla ya billioni 324 kwa miaka 4 atakayoitumikia Juventus kutokana malipo ya mshahara tu bila kuweka marupurupu mengineyo. Mpira unalipa wewe!! ; Huu hapa ndio mchanganuo ya malipo ya Ronaldo akiwa Juventus kwa fedha za madafu! . Bilioni 324 kwa miaka 4. Bilioni 81 kwa mwaka. Bilioni 6.75 kwa mwezi. Bilioni 1.6875 kwa wiki. Milioni 241 kwa siku. Milioni 10 kwa saa. Laki 167,000 kwa dakika. 2,800 kwa sekunde.
Cristiano pia amepata awards nyingi kwa sababu ya kuchezea Real Madrid
Case closed.
 


Tutakutana kwe Champions League.
 
Fabio Coentrao is the only remaining Jorge Mendes' client that is under contract with Real Madrid.

 
Now that CR7 is not their player, you will see every kind of criticism from madridiots!

Wamepita wengi hapo madrid, akina Raul na Ricardo Kaka. Ila hakuna alieipatia madrid mafanikio kama Ronaldo.

Show some respect to the second best player in the world.

By the way, nasikia sasa hivi mashabiki wa man united wana team tatu za kushabikia. Siku sio nyingi mtaongezewa team ya nne probably marekani au China!
 
 
Achana naye huyo.
 


Go *** yourself.
 
Hii thread ndio most active thread kwenye sports forum. Why? Kwasababu Real Madrid supporters wako very close with their team, wanafuatilia activities zote. Kama unafikiri hii thread iko hapa kwa ajili ya Ronaldo basi unaota ndoto .
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…