Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Akamuhudumie nani wakati wanaume tupo huku kwenye mpira?

Acha atufate huku huku.

Yani mkifungwa mnatukana kila mtu ***** zenu. Jana mmetukana sana tulikua tunawasubiri!

Acha juve awashike makalio kimya kimya!
Cha ajabu njemba mbili zimezidiwa na mdada kujibizana na mdada ni sawa na kupiga tikitaka mbele ya mama mkwe ukiwa umevaa msuli
 
Jamani napita kusalimia tu hapa Kijijini. Hongereni, maana kitu kilikuwa kinagonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…