Acha kufananisha Madrid n ujingaViporo vyetu kama vya Yanga,havichachi!
Hahahaha ni kweli naona jana wote walikua celta baaada ya matokeo wakapoteana.wata hama sana mwaka huu, wakitoka Malaga watahamia Juve na cc tunapiga tu hao waume zao
Madrid wangemuuza Bale, maana mcm mzima Ni majeruhi tu, tetesi za lsco kuuzwa hazpo tena, jamaa amekomaa sasa Na anaweza kuibeba Madrid kma midfield
Majirani msije kuanzisha Malaga Special Thread
wata hama sana mwaka huu, wakitoka Malaga watahamia Juve na cc tunapiga tu hao waume zao
wata hama sana mwaka huu, wakitoka Malaga watahamia Juve na cc tunapiga tu hao waume zao
Real Madrid will pay Sunday's opponents Malaga €1m if they win La Liga - Goal.com
Na Kocha wa Malaga alikua mchezaji wa Madrid zamani. Baada ya Malaga kuipiga Barca 2-0 last month Kocha wa Malaga alisema huo ushindi ni zawadi kwa Madrid washindwe wenyewe.
Yule kipa ananipa mashaka sana hakika ila merely a draw will do. Draw hatuwezi kosa.Bufa Real Madrid hawawezi kuchukua ushindi mbele ya Malaga kirahisi rahisi inabidi pachimbike. Wale watu wanakuwaga noma sana wakiwa kwao. Wana yule golikipa wa kuitwa Kameni ni habari nyingine.
Yule kipa ananipa mashaka sana hakika ila merely a draw will do. Draw hatuwezi kosa.
Ingekuwa bongo tungesema wamepewa pesa na majirani!! au na huko kwa wenzetu haya mambo yapo? Sio kwa kukaza hivyo man
Madrid ushindi kwa malaga ni nje nje, kocha wa malaga bwana michel ni madridista pure tena wa bila kupepesa macho, na mara nyingi kwenye press amekua akionesha mapenzi yake wazi kabisa kwa madrid.Bufa Real Madrid hawawezi kuchukua ushindi mbele ya Malaga kirahisi rahisi inabidi pachimbike. Wale watu wanakuwaga noma sana wakiwa kwao. Wana yule golikipa wa kuitwa Kameni ni habari nyingine.
Madrid ushindi kwa malaga ni nje nje, kocha wa malaga bwana michel ni madridista pure tena wa bila kupepesa macho, na mara nyingi kwenye press amekua akionesha mapenzi yake wazi kabisa kwa madrid.
Kama mwezi mmoja tu umepita bodi ya Barcelona ilitaka kumshitaki FIFA baada ya kuwaita Barcelona ni scums,