Vinicius Jr atabaki kucheza Brazil mpaka atimize miaka 18, atakuja kujiunga na kikosi moja kwa moja lakini itakuwa msimu wa 2018/2019. Vuta subira mkuu.
Real Madrid XI vs. Atletico Madrid: Navas; Danilo, Varane, Ramos, Marcelo; Casemiro, Kroos, Modric; Isco, Ronaldo, Benzema. [HASHTAG]#MatchDay[/HASHTAG]
Toka dakika ya kwanza tunaonekana kupanic.....yaan mipira haitulii miguu...tunacheza bila malengo pasi zinapotea hovyo...hawa watoto tunataka kuwap ujiko