Goli10 mechi 11 aisee jamaa anapenda sifa huyuu na record safari hii inaandikwa kwa mara ya kwanza na wenye record zao madrid UCL kubebwa mara mbili mfululizo na timu moja.
Mi nishasema Kombe letu hili
Huku La Liga
Kule UEFA Champions League Back to Back
Yaani sisi ni wa Kwanza kulibeba baada ya kubadilishwa jina na kuwa Champions League
km uefa wanafanyaga njama za kuzitoa timu zilizochukua kombe msimu uliopita ili zisichukue tena kwa mfululizo kwa hawa jamaa wamegonga mwamba,wakawasaidie tu barca kulima matikiti maji kule catalunya hihihihihiiii
km uefa wanafanyaga njama za kuzitoa timu zilizochukua kombe msimu uliopita ili zisichukue tena kwa mfululizo kwa hawa jamaa wamegonga mwamba,wakawasaidie tu barca kulima matikiti maji kule catalunya hihihihihiiii