Hawa Napoli wametukomalia kweli, ninaona mbinu yao ya kutukabia juu inafanya kazi, ishu hapa ni moja tu sasa, Zidane itabid awatoe mmoja wa BBC, amwingize Isco ili kuiwezesha team ikae na mpira zaid!!
Game kama hiz hua zinatuwia ngum sababu Casemiro hawez kukaa na mpira, ukichangya na hawa ndg zetu wa BBC kuwa sio watu wa kukaba, basi akina Modric na Kroos wanapata shida sana.
So sub ya Isco itakuwa ya maana kweli kweli!!