Yupo na hang tu Kati Kati ndio maana unamwona kama amechemsha, ila nafasi anayocheza ndio inamletea matatizo, hope kipnd cha pili wataongea ili Ronaldo arudi kati na yeye apate nafasi pembeni
Kipind cha kwanza vijana wamecheza kwa umakini sana, Ngoja tusubir kipnd cha pili tuone Zidane anakuja na mbinu gani, ila goli ni muhimu sana ili kuwalegeza