Naomba nitoe tena tangazo hapa kwa wenye taarifa zaauzaji wa Bajaji used kutoka nje. Nasema kutoka nje kwa sababu za hapa bongo zinakuwa zimechoka sana. Ila kama kuna anaeuza ya kwake hapa bongo na iko katika hali nzuri,,,imetumika chini ya mwaka mmoja basi ani inbox kwa mawasiliano zaidi.