Re. Natafuta Bajaji Used kutoka nje

Re. Natafuta Bajaji Used kutoka nje

losi

Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
16
Reaction score
5
Naomba nitoe tena tangazo hapa kwa wenye taarifa zaauzaji wa Bajaji used kutoka nje. Nasema kutoka nje kwa sababu za hapa bongo zinakuwa zimechoka sana. Ila kama kuna anaeuza ya kwake hapa bongo na iko katika hali nzuri,,,imetumika chini ya mwaka mmoja basi ani inbox kwa mawasiliano zaidi.
 
Back
Top Bottom