RE: 'My life cleaning Delhi's sewers'

Siamini pasco ni kweli yaani ninaowasikia wahindi ndio wanaishi hivi?
attachment.php

Flies, ubiquitous slum pests, look for salt and moisture around an infants eyes.

Haiwezekani labda hizi picha ni za africa....India haiwezi kuwa hivi...
Truth,these pictures are from africa not India....
slumsindiaeo7.jpg
Hizo picha ni cha mtoto, japo nilikuwa na camera, sikuthbutu kupiga picha ili nisimuofend mwenyeji wangu, si unajua tena unapokula fadhila.
Hakuna ubishi hali kama hiyo iko Tanzania Uwanja wa Fisi, Tandale, Tandika na mabondeni, lakini haya ni baadhi ya maeneo, Delhi ni town centre. Masikini wa Bongo, yaani wale ombaomba wengi wanaishi Kipawa, wale wachache waliobakia wanalala Feri pamoja na watoto wa mitaani, India ni kila eneo.
Wahindi wa Bongo pia ni lower caste, waliletwa nchini na Mkoloni Mwingereza kama makuli wakati wa ujenzi wa Reli ya Kati. Waafrika walikuwa very unreliable, baada ya pay day ndio basi tena, kesho yake huwaoni mpaka waishiwe. Suluhisho ndio kuwaleta wahindi. Ukienda Dubai ama nchi za Kiarabu, wafanyakazi za kishenzi shenzi wote ni kutoka Asia. Yaani kwa Dubai, wadada wa kihindi hata wakianika bidhaa zao kwa ile 'oldest profession', zinadoda wakati ngozi nyeusi zinalipa.

Pamoja na uchafu huo wote wa Wahindi, lazima tukiri, wametutangulia sana katika kila idara. Hukuna kuiport bidhaa yoyote ipatikanayo India, everything is made in India. India ni moja ya nchi zinazoongoza kwa job export na hata export ya wachumba. Wahindi ni waaminifu sana ukiondoa few exceptions.
Kwa kifupi wako juu sana ndio maana hata huku kwetu, wanatudharau na kutuona tuko chini.
Wahindi wanajua sana biashara. Mpe Matonya mtaji wa milioni 1 na umpe mhindi, kwanza Matonya ataoa mke mwingine, pombe sana. Mhindi atafunga (fast) na kuanza biashara. Baada ya mwaka, Matonya hana kitu, na mhindi ana milioni 10!.
 
Back
Top Bottom