Aisee hawa wasanii wawili wametoa megamix ya nyimbo zao karibu zote zilizowahi kusumbua kama niaje, wanoknok, dingi,n ikupe nini na nyinginezo, hii megamix ni kali balaa.
Nshaiona kny local tv stations kama mara mbili hivi.. lakini tatizo la hawa jamaa ni poda,unga,ngada,ngoma au Mondo.. hawa watu wanakula unga sana aisee... yaan kama huyu mandojo nliwah kaa nae kny baa moja inaitwa chuchu karbu na CBE pale dodoma.. alikuwa amedevela vibaya.. hoi kwa unga.. dah, unga ulivokuwa hauna adabu ukiwa na alosto jamaa c wakapita na simu ya demu wangu.. Mandojo kama unaingiaga humu chukua hii ACHA UNGA, si mmesikia mwenzenu wa huko ulaya yaliyomkuta??? sauti mnazo ila kwa mwendo wa unga tutawa RIP
Nshaiona kny local tv stations kama mara mbili hivi.. lakini tatizo la hawa jamaa ni poda,unga,ngada,ngoma au Mondo.. hawa watu wanakula unga sana aisee... yaan kama huyu mandojo nliwah kaa nae kny baa moja inaitwa chuchu karbu na CBE pale dodoma.. alikuwa amedevela vibaya.. hoi kwa unga.. dah, unga ulivokuwa hauna adabu ukiwa na alosto jamaa c wakapita na simu ya demu wangu.. Mandojo kama unaingiaga humu chukua hii ACHA UNGA, si mmesikia mwenzenu wa huko ulaya yaliyomkuta??? sauti mnazo ila kwa mwendo wa unga tutawa RIP