Kisiya Jr.
Senior Member
- Nov 21, 2011
- 102
- 29
Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya Utumishi wa Umma. Kutokana na kazi nyingi kutangazwa kwa vigezo vya uzoefu,nimeamua kutafuta pahala nikajitolee nipate uzoefu angalau kwa mwaka mmoja ambapo nitakua nimeshapata Transcript yangu ya chuo.
Kwahiyo ndugu zangu naomba msaada wenu,hata ushauri wa ofisi za kwenda ziwe za umma au binafsi au hata NGO nipo tayari.
Naomba kama kutakua na msamaria anaeguswa na hilo ani PM.
Nawasilisha wakuu.
Kwahiyo ndugu zangu naomba msaada wenu,hata ushauri wa ofisi za kwenda ziwe za umma au binafsi au hata NGO nipo tayari.
Naomba kama kutakua na msamaria anaeguswa na hilo ani PM.
Nawasilisha wakuu.