Salamu kwenu MMU,
Ni binti mtanzania, ninavuta sigara tangia nilipomaliza tu high school hadi leo nimemaliza chuo nimeajiriwa mahali. Kazi yangu inaniweka busy sana kiasi napatikana mjini kwa nadra.
Ni mekuwa na stlye yangu tofauti ya maisha kwamba naishi nitakavyo no matter what my family, friends na community watasema au wanafanya. Familia yangu ni yenye dini sana na yenye maadili (kama walivyojiwekea na ilivyozoeleka na kukubalika miongoni mwa watanzania. Ninasema hivi kwa sababu maadili ni located and subjective. Unayoyaita maadili Tanzania sehemu nyingine si maadili ni kitu kingine. Hivyo inategemeana na wewe binafsi umeamua uishi vipi). NINAOMBA TUSIJADILI HILI KWENYE POST HII KWANI NI KAMA BACKGROUND INFO TU. Kwa msingi huu wananiona kama deviant kwa kuamua kuwa mvutaji bila kificho, kuishi party life (lakini nasave kwa ajili ya badae sio kwamba nimejisahau) ila mimi nimejikubali na nimeamua kuishi maisha yangu niliyojiamulia na kujiwekea.
Swala la sigara limekuwa ni tatizo kwa familia yangu, ndugu na hata mahusiano. Mimi kuacha imekuwa ngumu. Mwanaume wangu alinikuta navuta cigar na alidai alinipenda kwa sababu ya utofauti wangu na kusimamia kile nikiaminicho lakini hata sijui imeanzia wapi anadai hawezi kuoa mwanamke mvutaji (lakini sivuti bangi, ni SM na zinginezo tu. Hata sigara kali sivuti). Sasa ninajiuliza huyu hakuniona mwanzoni kwamba navuta? je niendeleze msimamo wangu au niache kwa ajili yake? kama ni kuacha nawezaje kuacha kwani nimeizoea sigara na kuipenda kama vile chakula maishani mwangu? Kwa siku siwezi hata kuhesabu navuta pakti ngapi tena ukizingatia nina kampani ya mvutaji mwenzangu ambae ni boss wangu kikazi 30/7. Hili limekuwa ni swala gumu sana maishani mwangu na ninaona kama nitampoteza huyu mshikaji (boyfriend).
Ninaomba mnishauri kwasababu niko njia panda. Kwa wenye matusi au kuhukumu hapa sio mahala penu kwani familia ilishanihukumu tayari amebaki Mungu wangu tu kunihukumu.
Asanteni na karibuni mnipe ushauri akili imestak.
Ni binti mtanzania, ninavuta sigara tangia nilipomaliza tu high school hadi leo nimemaliza chuo nimeajiriwa mahali. Kazi yangu inaniweka busy sana kiasi napatikana mjini kwa nadra.
Ni mekuwa na stlye yangu tofauti ya maisha kwamba naishi nitakavyo no matter what my family, friends na community watasema au wanafanya. Familia yangu ni yenye dini sana na yenye maadili (kama walivyojiwekea na ilivyozoeleka na kukubalika miongoni mwa watanzania. Ninasema hivi kwa sababu maadili ni located and subjective. Unayoyaita maadili Tanzania sehemu nyingine si maadili ni kitu kingine. Hivyo inategemeana na wewe binafsi umeamua uishi vipi). NINAOMBA TUSIJADILI HILI KWENYE POST HII KWANI NI KAMA BACKGROUND INFO TU. Kwa msingi huu wananiona kama deviant kwa kuamua kuwa mvutaji bila kificho, kuishi party life (lakini nasave kwa ajili ya badae sio kwamba nimejisahau) ila mimi nimejikubali na nimeamua kuishi maisha yangu niliyojiamulia na kujiwekea.
Swala la sigara limekuwa ni tatizo kwa familia yangu, ndugu na hata mahusiano. Mimi kuacha imekuwa ngumu. Mwanaume wangu alinikuta navuta cigar na alidai alinipenda kwa sababu ya utofauti wangu na kusimamia kile nikiaminicho lakini hata sijui imeanzia wapi anadai hawezi kuoa mwanamke mvutaji (lakini sivuti bangi, ni SM na zinginezo tu. Hata sigara kali sivuti). Sasa ninajiuliza huyu hakuniona mwanzoni kwamba navuta? je niendeleze msimamo wangu au niache kwa ajili yake? kama ni kuacha nawezaje kuacha kwani nimeizoea sigara na kuipenda kama vile chakula maishani mwangu? Kwa siku siwezi hata kuhesabu navuta pakti ngapi tena ukizingatia nina kampani ya mvutaji mwenzangu ambae ni boss wangu kikazi 30/7. Hili limekuwa ni swala gumu sana maishani mwangu na ninaona kama nitampoteza huyu mshikaji (boyfriend).
Ninaomba mnishauri kwasababu niko njia panda. Kwa wenye matusi au kuhukumu hapa sio mahala penu kwani familia ilishanihukumu tayari amebaki Mungu wangu tu kunihukumu.
Asanteni na karibuni mnipe ushauri akili imestak.