kosa langu nini hapa? mbona mwenzie alikuwa nayo?
Ingawa sijaenda shule hii naweza bahatisha - UJUE VIMEUNDWAYani wewe ni mbulula wa nguvu ndio nyie mnaacha jero hm mkirudi mezani imepikwa kuku na biriani wala huhoji unajiachia na na fane unawasha ili ule ushibe vizuri my take USIONE VYAELEA................. malizia nijue umeelewa mada.
Ila wewe....umeniudhi! Huoni kosa lako kijana?!Kubeba makunyanzi ya mahusiano yaliyopita na kuyaleta kwenye uhusiano wako mpya unaodai 'unampenda' huku ukimfananisha na ex wako ni tabia chafu, tena mbaya sana!
Umeona huo ushamba eeh, me mwanamke wangu akinambia story za x wake alikuwa hivi mara vile,alikuwa anafanya hivi mara vile yaani hapo hapo nakusepesha.
Nimpe Bwana sifa na utukufu kwa kunipatia huyu mchumba, ananipenda na mimi nampenda panapo majaaliwa mwishoni mwa mwaka huu tutafunga ndoa. Tatizo ni kwa x-girl friend wangu alikuwa na chachandu ya gold kiunoni. huyu hana. nilipomwomba atafute chachandu kanipa jibu linalonikosesha raha kabisa eti kwanini nisimletee na kwa nini namwambia ajinunulie. kosa langu nini hapa? mbona mwenzie alikuwa nayo?
du.! Mambo ya kujihudumia mapema hivyo na hairisha kuolewa nawe maana hujajipanga kuwa na mke,Ndo maana wanawake wanalalamika siku hizi...eti huyo ndo mchumba demu anatakiwa ampeleke kwao
Aise...lakini hichi kizazi cha karibuni hichi kinamtazamo tofauti sana kuhusu maisha...wanayachukulia maisha kiasara asara sana...du.! Mambo ya kujihudumia mapema hivyo na hairisha kuolewa nawe maana hujajipanga kuwa na mke,