ni ugonjwa unaotokaka unaotokana na udhahifu katika pingili (joints) za uti wa mgongo upande wa shingo. hivyo kusababisha mishipa ya fahamu(nerves) kubanwa na kusababisha maumivu katika shingo, mgongo, kifua hata miguuu. wakatti mwingine kumfanya mtu kuishiwa nguvu mikononi au miguuni! dalili pia ni wakati mtu akikohoa husikia mauvu. sababu kubwa ni kukaa vibaya mafano unainamisha shingo muda mrefu hasa kwenye computer, wakati wa kusoma, kuendesha kazi nk. au kubeba mizigo mizito kichwani. matibabu yake ni kujitahidi kuweka shingo imara. lakini ukizidiwa pia operation hufanyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.