CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Habari zenu wadau?
Naomba msaada wenu.
Ni sehemu zipi kwa mikoa ya Rukwa(mfano Mpanda n.k) na Tabora nitapata mazao yafuatayo:
Mahindi: Debe moja (ndoo ya lita 20) - kwa bei isiyozidi sh.2,500/=
Karanga: Debe moja (ndoo ya lita 20) - kwa bei isiyozidi sh. 2,000/=
Naomba msaada wenu.
Ni sehemu zipi kwa mikoa ya Rukwa(mfano Mpanda n.k) na Tabora nitapata mazao yafuatayo:
Mahindi: Debe moja (ndoo ya lita 20) - kwa bei isiyozidi sh.2,500/=
Karanga: Debe moja (ndoo ya lita 20) - kwa bei isiyozidi sh. 2,000/=