RC SIMIYU: Madini yametuingizia shilingi bilioni 135

RC SIMIYU: Madini yametuingizia shilingi bilioni 135

John John Msakuzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
279
Reaction score
99
1755083391847.png


Akiongea na wanahabari, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Annamringi Macha amesema kuwa hadi kufikia mwaka 2025 chini ya Rais Samia, Dhahabu zenye uzito wa gramu 1,301,842.81 zenye thamani ya shilingi bilioni 134.78 zimeuzwa kupitia soko la madini la Mkoa, ambapo shilingi bilioni 9.43 zimekusanywa kama mrahaba na ada za ukaguzi.

Aidha, amesema leseni za wachimbaji wadogo zimeongezeka kutoka 126 mwaka 2020 hadi 573 mwaka 2025, jambo linaloashiria ongezeko la shughuli za uchimbaji na ushiriki mpana wa wananchi katika sekta ya madini, ikiwemo vikundi vya wanawake waliopata leseni za uchimbaji.
 
View attachment 3440037

Akiongea na wanahabari, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Annamringi Macha amesema kuwa hadi kufikia mwaka 2025, dhahabu zenye uzito wa gramu 1,301,842.81 zenye thamani ya shilingi bilioni 134.78 zimeuzwa kupitia soko la madini la Mkoa, ambapo shilingi bilioni 9.43 zimekusanywa kama mrahaba na ada za ukaguzi.

Aidha, amesema leseni za wachimbaji wadogo zimeongezeka kutoka 126 mwaka 2020 hadi 573 mwaka 2025, jambo linaloashiria ongezeko la shughuli za uchimbaji na ushiriki mpana wa wananchi katika sekta ya madini, ikiwemo vikundi vya wanawake waliopata leseni za uchimbaji.
Hayo madini yanachimbwa wapi hapo Simiyu?
 
Back
Top Bottom