RC Mbeya ateka Mafarisayo mchana kweupe

RC Mbeya ateka Mafarisayo mchana kweupe

Mungu wetu Ana wivu Sana
Screenshot_20200527-131826~2.jpeg
 
Acha uzushi yaan morovian ilianza kabla kkkt wakat temple kwetu la kkkt limejengwa kipindi cha utawala wa kijeruman...kumbe hata hujui asili ya morovian


Wewe ndio hujui historia vyema jamaa kaeleza vizuri. KKKT imeingia Mbeya mjini mwaka 1978, na usharika wa kwanza ni kule Nonde lile kanisa la Mawe.

KKKT limeanza mkoa wa Mbeya mwaka1891 mahali panaitwa Ipagika (Konde)
Moravian limeingia mkoa wa Mbeya mwaka 1890 maeneo ya Kyela.

Bonus:
Moravian duniani limeanzishwa 1st March 1457 hivyo limetimiza miaka 563 mwaka huu 2020. Martin Luther alizaliwa 10 November 1483. Moravian lilianzishwa kabla hata Martin Luther hajazaliwa.

Kwa maelezo hayo unaona jinsi Moravian lilivyotangulia KKKT sio Mbeya bali hata kuanzishwa kwake.
 
Kwa huu uoga itakuwa hata hamuwezi ‘kujamba’ au inawalazimu kutazama huku na kule kabla, maisha ya hovyo sana usipojitambua.
ulimi uponza kichwa lakini pia vidole, macho na kichwa vya weza kuponza mwili mzima. Tumia vizuri viungo hivyo kwa manufaa yako na ya wale wanaokzunguka.
 
Acha uzushi yaan morovian ilianza kabla kkkt wakat temple kwetu la kkkt limejengwa kipindi cha utawala wa kijeruman...kumbe hata hujui asili ya morovian
Hilo kanisa la KKKT hapo Mbeya lilijengwa eneo gani? Moravian ilijengwa karibu na shule ya Loleza, mimi ni Moravian ilikuwa nikienda Dar nasali KKKT na KKKT wakienda Mbeya wanasali Moraviani, Mbeya na Tabora hawakuwa na kanisa la KKKT, usilete ligi isiyo ya msingi.
 
Hilo kanisa la KKKT hapo Mbeya lilijengwa eneo gani? Moravian ilijengwa karibu na shule ya Loleza, mimi ni Moravian ilikuwa nikienda Dar nasali KKKT na KKKT wakienda Mbeya wanasali Moraviani, Mbeya na Tabora hawakuwa na kanisa la KKKT, usilete ligi isiyo ya msingi.
Sijui nabishana na mtu wa umri gan but kwetu rungwe kkkt ipo kitambo toka utawala wa mjeruman
 
Back
Top Bottom