RC Makonda yupo wapi?

kichakaa man

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2011
Posts
5,497
Reaction score
5,186
Kwa muda mrefu sasa mkuu wa mkoa wa Dar sijamsikia ni kama zaidi ya wiki 2 na siku hivi. Nini kimempata mkuu huyu maana najua huwa sio kawaida yake kukosekana kwenye media kwa muda mrefu hivi.

Naona na Dada yake mange kasema kuna majanga yamempata japo hajafanunua. Hebu wajuzi wa mambo tupeni information.
 
Hujamuona kwenye taarifa ya habari ya ITV usiku huu akiwa anasimamia utiaji saini mikataba ya ujenzi wa barabara zilizoharibiwa na mvua jijini Dsm?!!
 
Kwishney
 
Hujamuona kwenye taarifa ya habari ya ITV usiku huu akiwa anasimamia utiaji saini mikataba ya ujenzi wa barabara zilizoharibiwa na mvua jijini Dsm?!!
Mtaendelea tu kujenga barabara kwenye makaratasi na ku saini tu mwisho wa zitabaki vilevile....

Ova
 
Kuna ka inzi kanazunguka kana harufu mbaya kama kametoka kwenye kinyesi.
Hata yeye anahaha kutuma watu wavujishe ili sizonje aghairi na kusema wasinipangie
 
mkuu acha tuu akae kimya mana lile zoezi la upimaji lile sitaki kulisikia kabisa yan
 
Watu mna visa mtu akifanya vitu ni kiki saiv yupi kimya anamajanga kweli watu hawakosi la kusema
 
Nenda ilala Boma pale opposite na soko la karume utamkuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…