Kwa muda mrefu sasa mkuu wa mkoa wa Dar sijamsikia ni kama zaidi ya wiki 2 na siku hiv . nin kimempata mkuu huyu maana najua huwa sio kawaida yake kukosekana kwenye media kwa muda mrefu hiv .
.
.
Naona na Dada yake mange kasema kuna majanga yamempata japo hajafanunua .hebu wajuzi wa mambo tupe information