Sehemu zingine kama unawahi kazini na unakuwa wa mwisho kutoka kila siku na na likizo hutaki kwenda "TAKUKURU" wanakuchunguza maana hizo ni dalili za corruption.
Yupo Marekani anatumia kodi vizuri,Tanzania hamna pahala pa mapumziko mazuri,Kaenda zake kula bata,kawaachia kwanza mtaa wa msimbaZi mpange biashara zenu,akirudi safisha safisha inaanza