RC Makonda yupo wapi?

Atakuwa amepigwa kipapai na vizee vya Dar!!
 
Nenda nyumbani kwake kama unashida naye atakupa msaada unaotaka wengine wala hatuoni jipya kuwepo au kutokuwepo kwake ccm ni ileile tu.
 
Nasoma kuhusu DC Happi kukaimu nafasi ya RC sifahamu mkuu wetu wa mkoa yu wapi na nini kimemfanya asitekeleze msjukumu yake.

Hope yu mzima wa afya somewhere

Umem mis sio.? ha ha haaa.! kwa kweli, ndio maana kuna watu sa'hv wanasema wanam mis Kikwete.
 
Baba mchungaji yuko anamuombea mkewe,kafunga toba!
 
Anatekeleza majukumu ya GSM huko China
 
Yupo Marekani anatumia kodi vizuri,Tanzania hamna pahala pa mapumziko mazuri,Kaenda zake kula bata,kawaachia kwanza mtaa wa msimbaZi mpange biashara zenu,akirudi safisha safisha inaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…