B BEHOLD JF-Expert Member Nov 17, 2013 5,057 10,715 Sep 30, 2016 #1 Mheshimiwa Makonda, tunaomba ratiba ya shughuli ya upandaji miti mkoani Dar kama ulivyolitangazia taifa tarehe 1/09/2016. Nawasilisha!
Mheshimiwa Makonda, tunaomba ratiba ya shughuli ya upandaji miti mkoani Dar kama ulivyolitangazia taifa tarehe 1/09/2016. Nawasilisha!
Q Quinine JF-Expert Member Jul 26, 2010 21,271 47,271 Oct 1, 2016 #2 Matamko yanayotolewa kwa mihemko ya kisiasa mara nyingi huwa hayafanikiwi.
S Swelana JF-Expert Member Sep 24, 2016 418 1,259 Oct 1, 2016 #3 Eti alikuwa anazuia ukuta usifanyike,sasa umeahirishwa na yeye kaahirisha,akili ndogo sana...
shushushu VIP JF-Expert Member Jul 24, 2016 4,806 4,303 Oct 1, 2016 #4 nam namsikiliziaa atafanyajev na miti yake