Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Wakili Wasonga anasemaje kuhusu hili?
Kwan uongozi wa clouz unakosa ganii ndugu au hujui kilicho tokeaWadau Nimesikitishwa sana Na Kitendo kilichofanywa Na Uongozi mzima wa Clouds kumruhusu Bw.Makonda Na msafara wake wakiwa Na Silaha Kwa vyovyote ni za Jeshi la Polisi au JWTZ kuingia Studio Na kupiga kutisha watangazaji Na kuwaamuru kurusha kipindi.Sina ugomvi Na walichorusha ila utaratibu mzima uliotumika , je silaha alizotumia makonda zingeporwa Na majambazi ingekuwaje?Ndio maana nataka niende mahakamani ili Makonda, uongozi wa Clouds watangazaji Na hao walikuwa Na silaha watueleze watanzania ukweli.
asinifanyie hivyo,,,,,akiji r.i.p ubuyu ntautoa wapi??Nasikia ana mpango wa kuji RIP.
Kwi kwii kwii!! cocochanel, eti kweli wewe ni Mrs. Daudi?! Kama kweli, akikuambia muhamie Kolomije usikubali manake unaweza kuzeeka kabla siku si zako; mwambie tu utaenda kuishi na uncle chige!!Huyo ni Mrs daudi asikuumize kichwa tehe tehe tehe
Ulitegemea wakubali wakati wale ni mume na mukeNaskia clouds wamekanusha kuwa hawakuvamiwa na Makonda
kumbe nawe umeligundua hilo? mimi naona uzi huu ni wa kutoka clouds kwenyewe lengo likiwa nikujisafisha ili kuepukana na yule dada mange. maana huu uzi ni kusema kwamba wao hawahusiki na clip ile, na kwamba walikataa kuicheza, na kwamba hata soudy alipigwa kwa kukataa kuicheza na kwamba aliyerusha mitandaoni ni daudi mwenyewe. huu ni utetezi waonaona wanajitetea baada ya mange kusema anaenda kuanika machafu ya maboss wa clouds FM naona wameanza kupiga propaganda
Stay tuned...makubwa yanakujaho ni wahuni wamevaa nguo za jeshi
Secretary yupo wapi?? Mbona haonekani?