The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,456
- 17,219
Habari ya wakati huu wakuu.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Makonda amewatangazia kiama wanaume wote wanaowamimba wanawake kisha kukataa mimba au kukimbia mimba.
Amedai atashughulika nao kadri awezavyo, atapambana nao hadi ahakikishe kua wawe wanatoa matumizi ya mimba na mtoto.
Hili nyie mnalionaje?
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam mheshimiwa Makonda amewatangazia kiama wanaume wote wanaowamimba wanawake kisha kukataa mimba au kukimbia mimba.
Amedai atashughulika nao kadri awezavyo, atapambana nao hadi ahakikishe kua wawe wanatoa matumizi ya mimba na mtoto.
Hili nyie mnalionaje?