RC Makonda aibiwa simu

Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salamm, Paul Makonda ameibiwa simu jana baada ya kufanya kikao na waandishi wa habari alipokuwa na balozi wa Korea nchini na aliporudi ofisini na kutaka kumpigia mtu simu ndio alibaini simu haionekani.

Chanzo: JamboLeo

Kafanya makosa. Angenwiba yeye tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…