Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,649
- 20,988
Nadhani wakati umefika kwa sasa Mashine za kielectronic kutumika katika madaladala ili kuipata vat ya 18% kikamilifu,kwa tunanunua Huduma hii ya usafiri.
Rc,makonda shughulika na daladala zinazokata route,gari ikiandikwa buguruni --Dondwe ,inatakiwa ifike Dondwe,kuepusha kukera wananchi.
N.b/ IPO HAJA YA KUPITIA USAJILI WA DALADALA ZOTE UPYA KWANI ZIPO BAADHI NI MBOVU MNO,NA HAZIFAI KUPAKIA ABIRIA,KIZISHAHAKIKIWA UPYA,ZIKABIDHIWE MASHINE ZA NAULI ZENYE MFUMO WA EDF ILI SEREKALI IPATE CHAKE.
Rc,makonda shughulika na daladala zinazokata route,gari ikiandikwa buguruni --Dondwe ,inatakiwa ifike Dondwe,kuepusha kukera wananchi.
N.b/ IPO HAJA YA KUPITIA USAJILI WA DALADALA ZOTE UPYA KWANI ZIPO BAADHI NI MBOVU MNO,NA HAZIFAI KUPAKIA ABIRIA,KIZISHAHAKIKIWA UPYA,ZIKABIDHIWE MASHINE ZA NAULI ZENYE MFUMO WA EDF ILI SEREKALI IPATE CHAKE.