Bila shaka ni Mo..sijui fedha kachangiwa na tajiri gani.
..Mzee Mengi aliyezoea kumchomoa keshatangulia mbele ya haki.
Bila shaka ni Mo..sijui fedha kachangiwa na tajiri gani.
..Mzee Mengi aliyezoea kumchomoa keshatangulia mbele ya haki.
Umewaza kama mimiVitu vyote anaweza aķawa amepora mâdukan kwa watu huyu ndugu....kwa wanaomfaham wasingeenda
Hakuna shida mkristo kumfuturisha muislam mkuu, wala hakuna tatizo wala kukatazwa katika dini ya usilam kusaidiana na wasiokuwa waislam. Kwa mfano kutoa sadaka unatakiwa umpe alie muhitaji tu, haikutajwa lazima awe na dini gani.Batili tupu haya mambo ni kinyume na dini ya uislamu kabisa.Tangu lini mkristo akamfuturisha muislam ni aya gani katika Quran au hadithi sahihi iliyoelekeza hivyo?
Masheikh wanauelewa uislam kamwe hawawezi hudhuria tamasha hilo
Kuna watu wanatumia nguvu kubwa sana kuonekena ni wasafi mbele ya jamii na kutumia shida za watu kama ngazi ya kisiasa
Duuh! Unanamfahamu vizuri.msemaji wa timu yako bado anawaza ipo siku anaweza kurudi tena ccm licha ya kashfa yake ya wizi wa magar hko
Hiyo ilikuwa Dinner out na si Iftar !Picha mbalimbali kutoka katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameandaa Futari iliyohudhuriwa na watu mbalimbali, wakiwemo Viongozi wa Dini ya Kiislam, Viongozi wa Serikali, pamoja na wa Vyama vya Siasa.View attachment 1107667View attachment 1107669View attachment 1107670
Kufuturisha ni 'Ibada' watu wanavamia mambo tu kwa ajili ya 'show off'. Si ajabu hiyo gharama imefadhiliwa na 'mkwepa kodi fulani' hiviiPicha mbalimbali kutoka katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameandaa Futari iliyohudhuriwa na watu mbalimbali, wakiwemo Viongozi wa Dini ya Kiislam, Viongozi wa Serikali, pamoja na wa Vyama vya Siasa.View attachment 1107667View attachment 1107669View attachment 1107670
Kama baraza lenyewe ni la wapumbavu basi mshale umetua msituniKuna msemaji wa timu yangu yupo hapo, na ndipo ninapo mdharau kwa kigerehere cha kipuuzi "kwa kukaa barazani pa wapumbavu"
Nadhani aliona kuwa wale wafadhili wamepungua. Kina Mengi hivyo anataka achukue hiyo nafasi.Vitu vyote anaweza aķawa amepora mâdukan kwa watu huyu ndugu....kwa wanaomfaham wasingeenda
Yesu ni Muislaam, sasa huyo siye !Mbona mmejaa chuki kwa makonda kiasi hiki.
Mbona Yesu alikua anafuturisha.
Umenena kweli tupu.Batili tupu haya mambo ni kinyume na dini ya uislamu kabisa.Tangu lini mkristo akamfuturisha muislam ni aya gani katika Quran au hadithi sahihi iliyoelekeza hivyo?
Masheikh wanauelewa uislam kamwe hawawezi hudhuria tamasha hilo
Kuna watu wanatumia nguvu kubwa sana kuonekena ni wasafi mbele ya jamii na kutumia shida za watu kama ngazi ya kisiasa
Faiza Foxy msaada tafadhali
Kifutu anafuturishaAnafuturisha vipi? Kwani amefunga?
Ikiguswa imani yake anaweka chama pembeni.B mdada huyu anatetea chama kubwa
Ni jambo la busara kama tutakuwa tuna focus kwa suala la kufuturisha badala ya kukejeli dini,kwani dini zote zipo kwa maana na lengo kuu moja ni amaniKwani ni aya ipi inayomkataza muislamu kufuturushwa na mkristo?