Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Wakati mwingine in vyema kuwa na staha huku ukichunga maneno maana waweza kuwa unasema ukimlenga mtu X lakini yakamchoma Y.
Habari alizoandika Ally Hapi akimlenga Mbunge wa Bukoba mjini Mheshimiwa Rwakatale kuhusu kuwasikiliza wapambe kuwa "huna mpinzani" wengi wamezi tafsiri kuwa ni kama vile kamlenga bosi wake na mteuzi wake Mwenyekiti wa chama chake ambaye wapambe wanajipitisha sana wakimuambia huna mpinzani.
Ushauri waweza kuwa mzuri, lakini kwa huyo bosi wake tunavyo mfahamu Hapi anaweza kula za uso akashangaa.
Hata hivyo hongera Hapi kwa kumpa ukweli bosi wako kwa kupitia mtu mwingine, umeicheza sanaa vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari alizoandika Ally Hapi akimlenga Mbunge wa Bukoba mjini Mheshimiwa Rwakatale kuhusu kuwasikiliza wapambe kuwa "huna mpinzani" wengi wamezi tafsiri kuwa ni kama vile kamlenga bosi wake na mteuzi wake Mwenyekiti wa chama chake ambaye wapambe wanajipitisha sana wakimuambia huna mpinzani.
Ushauri waweza kuwa mzuri, lakini kwa huyo bosi wake tunavyo mfahamu Hapi anaweza kula za uso akashangaa.
Hata hivyo hongera Hapi kwa kumpa ukweli bosi wako kwa kupitia mtu mwingine, umeicheza sanaa vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app