Ray Kigosi alamba shavu Rwanda

Huyu bwana ni hazina kubwa kwa Taifa baada ya kugundua kuwa kunywa maji mengi kumbe kunaongeza weupe wa mtu,naona sasa dada zetu wamepunguza sana kutumia mikorogo wako busy na kunywa maji kwa wingi.,big up Ray
 
Sasa anaiwakilisha Tanzania au kaenda kufanyakazi zake tu? Huu ujiko mwingine bana, basi Kama ndio hivyo wabeba box nje ya nchi na Wao wanaiwakilisha Tanzania
 
Huyu bwana ni hazina kubwa kwa Taifa baada ya kugundua kuwa kunywa maji mengi kumbe kunaongeza weupe wa mtu,naona sasa dada zetu wamepunguza sana kutumia mikorogo wako busy na kunywa maji kwa wingi.,big up Ray
Nadhani sanamu yake iwekwe pale maeneo ya posta badala ya Askari monument iwe Ray Kigosi the Bleacher's Monument
 
2ebe2042b789196283d48398065f8822.jpg
Sawa....
Nini tena hii halafu mtu ana rembua kuna shwari hapa kweli?
 
647x613xRay-Kigosi.jpg.pagespeed.ic.bfhcoHg4lL.jpg



Msanii wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni ametimkia nchini Rwanda baada ya kualikwa nchini humo kwa ajili ya kuandaa filamu maalum ambayo itashirikisha wasanii wa Tanzania na Rwanda.

"Nipo nchini Rwanda nimekuja kushoot movie inayoshirikisha nchi mbili Tanzania na Rwanda ni msanii pekee toka Tanzania niliyechaguliwa kuja kufanya movie hapa nchini Rwanda nina imani sitowaangusha Watanzania wenzangu hapa ni kazi tu."

Ray pia amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii pekee kutoka Tanzania ambaye amechaguliwa kushiriki katika filamu inayounganisha nchi mbili ya Rwanda na Tanzania.

Source: BongoMovie
 
Ushawahi kuwa nyumbani na wazazi mnaangalia movie halafu ghafla inatokea sex scene watu wanapigana mabusu wanarushana kitandani... Dingi anapagawa Ile kuua soo anakuuliza "Joshua? Ushapiga pasi GARI...!!!"
Nawe ulivyochanganyikiwa unajibu
"Umeme umekatika mzee..."
Duuuh, hii scene itabidi uifanyie Movie mzee, mana imenichekesha sana ..!!

Wasanii tunao wengi, tatizo wanyaRwanda hawana namba zako, kwa mfano huu huenda hii nafas ya Ray ungepewa wewe ..!!!!!
 
Evelyn Salt post: 16216445 said:
Anaishi kwa mama ake (kwao)

Kwa hiyo ulitaka aishe kwenu!? Au mtu kuishi kwao siku hizi imekuwa ni kosa!?
 
Watu wanapoteza muda arguing ray anaishi wapi na nani ??

WHAT A LOSS !!

Its ok to know about his where abouts but making him like the main topic of the day is kynda ridiculous. Tehe
A very big loss man. Si ajabu hata muziki umegeuka kituko. Eti msanii anaponda msanii mwenzake kuishi kwao. Na ndio mashairi ya wimbo hayo!?
 
Back
Top Bottom