Kwani Rwanda hakuna maji? Atayapata huko huko!....amekumbuka kwenda na ndoo za maji ya kunywa?!
Nadhani sanamu yake iwekwe pale maeneo ya posta badala ya Askari monument iwe Ray Kigosi the Bleacher's MonumentHuyu bwana ni hazina kubwa kwa Taifa baada ya kugundua kuwa kunywa maji mengi kumbe kunaongeza weupe wa mtu,naona sasa dada zetu wamepunguza sana kutumia mikorogo wako busy na kunywa maji kwa wingi.,big up Ray
Story za mastaa tu hapa hivo yani habari za maendeleo zipo jukwaa la maendeleoTatzo linakuja pale unafanya his business ur main priority.
No hard feelings though. Tehe
WTF?Big Up Ray,I can't believe thus why I'm so wonders.
Ha ha ha ha ha Umenikumbusha hiyoBig Up Ray,I can't believe thus why I'm so wonders.
Nini tena hii halafu mtu ana rembua kuna shwari hapa kweli?Sawa....
Msanii wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni ametimkia nchini Rwanda baada ya kualikwa nchini humo kwa ajili ya kuandaa filamu maalum ambayo itashirikisha wasanii wa Tanzania na Rwanda.
"Nipo nchini Rwanda nimekuja kushoot movie inayoshirikisha nchi mbili Tanzania na Rwanda ni msanii pekee toka Tanzania niliyechaguliwa kuja kufanya movie hapa nchini Rwanda nina imani sitowaangusha Watanzania wenzangu hapa ni kazi tu."
Ray pia amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii pekee kutoka Tanzania ambaye amechaguliwa kushiriki katika filamu inayounganisha nchi mbili ya Rwanda na Tanzania.
Source: BongoMovie
Hivi ni mcongo au ni mchagga?Ha ha ha ray mcongo hela yote ananunua mkorogo lol
Huyu jamaa hata sijuagi ni mtu wa wapiHivi ni mcongo au ni mchagga?
Yaani siku hizi kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mtu mwenye uume,maana mwanaume hawezi tumia mkorogo.Ha ha ha ray mcongo hela yote ananunua mkorogo lol
Duuuh, hii scene itabidi uifanyie Movie mzee, mana imenichekesha sana ..!!Ushawahi kuwa nyumbani na wazazi mnaangalia movie halafu ghafla inatokea sex scene watu wanapigana mabusu wanarushana kitandani... Dingi anapagawa Ile kuua soo anakuuliza "Joshua? Ushapiga pasi GARI...!!!"
Nawe ulivyochanganyikiwa unajibu
"Umeme umekatika mzee..."
Evelyn Salt post: 16216445 said:Anaishi kwa mama ake (kwao)
A very big loss man. Si ajabu hata muziki umegeuka kituko. Eti msanii anaponda msanii mwenzake kuishi kwao. Na ndio mashairi ya wimbo hayo!?Watu wanapoteza muda arguing ray anaishi wapi na nani ??
WHAT A LOSS !!
Its ok to know about his where abouts but making him like the main topic of the day is kynda ridiculous. Tehe
water me drink not enough, no exercise no white colourDuuuh, hii scene itabidi uifanyie Movie mzee, mana imenichekesha sana ..!!
Wasanii tunao wengi, tatizo wanyaRwanda hawana namba zako, kwa mfano huu huenda hii nafas ya Ray ungepewa wewe ..!!!!!
kwani inakuuma nini akipata mapenzi ya mama yake?Anaishi kwa mama ake (kwao)