Kabla hata sijaifungua hii Thread nilijua tu itakuwa ni Arusha!kwa anayehitaji kuikagua gari iko Arusha
kwa nn??Kabla hata sijaifungua hii Thread nilijua tu itakuwa ni Arusha!
Arusha uko sehemcgani mkuu?
Nataka ni ione hiyo Gari.kwa nn??
vipi mkuu na wewe ni dalali mwandamizi alafu umepigwa chenga nini?Kabla hata sijaifungua hii Thread nilijua tu itakuwa ni Arusha!
Arusha uko sehemcgani mkuu?
Huu ni uhuni.vipi mkuu na wewe ni dalali mwandamizi alafu umepigwa chenga nini?
Hii gari ya 1997 karibu miaka 20 iliyopita ndio unauza mil 11?
Fikiri tena na tena!
Hii gari ya 1997 karibu miaka 20 iliyopita ndio unauza mil 11?
Fikiri tena na tena!
Nimekujib
nimekujibu mkuu
Hii gari ya 1997 karibu miaka 20 iliyopita ndio unauza mil 11