Rav 4




Mkuu King Kong III, Nakubaliana na wewe kuhusu uchakachuaji kwenye yard za bongo, lakini napenda nikueleze ukweli kuwa RAV4 ya cif ya dollar 3,000 haitakuwa na hali nzuri kama za kuanzia dollar 4500- 5000, trade car view quality ya magari yao siyo nzuri sana kivile that is why price zao pia zipo chini kidogo, ukitaka quality za used car waone car junction japo bei zao zimesimama lakiani kwa ubora value for money inazingatiwa. Note, Hakuna kitu cheap hapa duniani but the issue is value for money vs QUALITY.
 

Hapo umemaliza mkuu
 

Uko right,
Uko wrong.

Tradecarview sio dealer mmoja, ni mtandao wa groups of dealers. Hata hao Car Junction na Autorec wanaosifiwa nao wapo ndani ya Trade Carview.

Ukichagua kwenye Tradecarview utawaona various dealers for the same vehicle, so it easy to find reliable dealers kama unawajua.

Ni heri upate gari hata kwa hao unaowasema vimeo wa Japan kuliko ununue kwa kina TOTO KANKO wanaobadilisha Engine na kuweka USED-BONGO wakati nje body inaita.
 

Umenena kiongozi used ya kina kum*moto ta*owaka imesimama kuliko hz za kwenye yard full kuchakachuliwa...Gari ya bongo iliyotembea km 30,000 inakua imechoka sana kuliko hata ya japan iliyotembea km 150000 for the same model
 
Asanteni saana wote kwa ushauri wenu najifunza kitu kwa kweli I appreciate...!!!

Regards,
Jonathan.
 

Umenena kiongozi used ya kina kum*moto ta*owaka imesimama kuliko hz za kwenye yard full kuchakachuliwa...Gari ya bongo iliyotembea km 30,000 inakua imechoka sana kuliko hata ya japan iliyotembea km 150000 for the same model
 

Mkuu vipi kuhusu uchakavu au wameutoa tena?
 
Kaka nitafute kuna rav zimeshaika hapa from Japan zipo bandarini ipo ya mwaka 1996 na 2001 my number 0762069631

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
mkuu bei yake kama ni showroom za hapa bongo zinaanzia 14.5m,cjui wewe unahitaji ambayo imeshatumika hapa bongo au mpya

Mpya bei yake itakuwa juu mkuu labda useme ambayo ishatumika Japan. Halafu nna wasiwasi kama kwa miaka hiyo tajwa hapo juu hiyo gari itapatikana.
Ni hayo tu.
 
mimi nimeagiza Rav 4 ya mwaka 1998 imeingia Feb 13,nakushauri jipange kuanzia 12 hadi 13 kwa uhakika ili usije kukwama...pia itategemea na insurance utakayotaka kuanza nayo so katika mpango wako weka km 1 M ya vikolombwezo km spoiler,Ribit,kuchora vio na mambo mengine
 
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…