Captain Phillip
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 894
- 538
Aisee. Nimejfinza kitu hapa. Pole mwenye gari.
Asante kwa taarifa. Weka Picha itakuwa poa zaidi.
kasema gari ni ya kilitime kwa maana ni gari ya kilimanjaro beer.
Mara nyingi watu huunguza magari sehemu maarufu zenye watu wengi kama evidence wakati wa kudai bima!
Wadau,
Mida hii niko mishemishe yangu mitaa hii ya Salender Bridge mbele ya Ubalozi wa Urusi nimeshuhudia Rav 4 Nyeupe ''Kilitime'' inateketea mwanzo mwisho naamini hakuna kitu alichoweza kuokoa huyo aliyekuwa akiendesha.Fire wamekuja wakati moto umeshazimika wenyewe.Dereva wakati anashuka ameonekana kuchanganyikiwa kwani hata ile akili ya kwenda ku-disconnect battery hakupata.
Hapo nikapata wazo jinsi ambavyo huwa tunatozwa hele ya Fire tunapoenda kukata Road Licence matokeo yake tunaishia kuhonga Ma-traffic tunapokuwa hakuna nyenzo za kuzimia moto.Badili tabia.
kuna ambayo nimeikutaa inaunguaa ya kijvuu leo mida ya saa saba kasoro...ndoo yenyewee???
...ni mojawapo ya aina ya magari yanayotakiwa kurudishwa JAPANA!
"HITILAFU MAGARI YA TOYOTA: Magari
milioni 6.6 aina ya Yaris, Urban
Cruiser, RAV4, Hilux kurudishwa
kiwandani kutokana na hitilafu,
kampuni ya Toyota yasema leo."