Asiliatz
Member
- Aug 16, 2018
- 97
- 131
Habari ndugu wananchi,.
Kitu kigumu uwa ni kupanga ratiba, kazi yakuitekeleza huwa sio ngumu sana kama ukipanga ratiba inayotekelezeka.
Hapa nimekusaidia kupanga ratiba ya wiki nzima nini unapaswa kupost kwa biashara yoyote ile.
Siku 2: jumatatu na jumanne ni kwaajili ya wateja, hapa fikiria zaidi maisha ya wateja wako, na upost kitu kinachogusa maisha yao.
Siku 2: Jumatano na Alhamisi ni kwaajili ya biashara yako, jielezee lengo la biashara yako kwa wateja na pia inadi biashara yako.
Siku 3: ijumaa, jumamosi na jumapili hizi ni siku za kuuza, jitahidi siku hizi kushawishi wateja wanunue unacho uza.
Hiyo ndio formula niliyoipa jina 2-2-3
Watu wengi siku zote saba wanatumia kuuza tu, kuonesha tu kile wanacho uza, tambua kwamba mitandao yakijamii sio kwaajili yakuuuza tu, inamalengo mengine mbali na biashara.
Husisahau pia sherehe za kitaifa na matukio yakitaifa ni vyema kuya post.
Kama umependa post hii ya mamilioni lakini unaisoma bure hapa
Like na share kusambaza upendo kwa wengine pia wafanikiwe katika biashara zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kigumu uwa ni kupanga ratiba, kazi yakuitekeleza huwa sio ngumu sana kama ukipanga ratiba inayotekelezeka.
Hapa nimekusaidia kupanga ratiba ya wiki nzima nini unapaswa kupost kwa biashara yoyote ile.
Siku 2: jumatatu na jumanne ni kwaajili ya wateja, hapa fikiria zaidi maisha ya wateja wako, na upost kitu kinachogusa maisha yao.
Siku 2: Jumatano na Alhamisi ni kwaajili ya biashara yako, jielezee lengo la biashara yako kwa wateja na pia inadi biashara yako.
Siku 3: ijumaa, jumamosi na jumapili hizi ni siku za kuuza, jitahidi siku hizi kushawishi wateja wanunue unacho uza.
Hiyo ndio formula niliyoipa jina 2-2-3
Watu wengi siku zote saba wanatumia kuuza tu, kuonesha tu kile wanacho uza, tambua kwamba mitandao yakijamii sio kwaajili yakuuuza tu, inamalengo mengine mbali na biashara.
Husisahau pia sherehe za kitaifa na matukio yakitaifa ni vyema kuya post.
Kama umependa post hii ya mamilioni lakini unaisoma bure hapa
Like na share kusambaza upendo kwa wengine pia wafanikiwe katika biashara zao.
Sent using Jamii Forums mobile app