Ratiba ya mgao wa umeme

Ratiba ya mgao wa umeme

Baisha

Member
Joined
Dec 17, 2008
Posts
35
Reaction score
3
mwenye ratiba ya huu mgao nnomba anipe ...haiingii akilini kukatiwa umeme for more than 30hrs....
 
Yeah..this is too much TANESCO kwa kweli, basi watoe ratiba angalau tuelewe, na kwa nini warudishe umeme usiku?? eti kuanzia saa saba usiku mpaka saa kumi na moja alfajiri, kwani si wanga!! Hii ina disturb sana kwa kweli
 
Sakata la gesi Reginald Mengi Anameza Matapishi yake.
Nani ameshasahau habari za Richmond na the power of attorney behind Richmond? Nani ambaye hajui Ngeleja aliwekwa na nani kwenye wizara ya nishati? Au mmesahau Ngeleja ana historia gani na Fisadi Papa amabye R.A.Mengi alimtaja na kuingia ugomvi mkubwa kupitia vyombo vya habari? Nani amabaye hajui kwamba hiyo wizara ya nishati ni basket fund ya The King Maker himself?
leo hii Mengi anapo pitapita na kulia lia kana kwamba haoni uhusiano wa uwaziri wa wizara hiyo na the King Maker Himself anategemea nini? There is nothing Prof. Muhogo can help him kwenye hilo. Anachofanya ni kumeza matapishi yake alipojiingiza kwenye fitna na Fisadi Papa ambaye ana "call shots behind the scene" japo amejiuzuru siasa lakini contract yake bado iko valid mpaka 2015.
Cha msingi Mengi ajipange upya. Kama anataka awe ana "pull strings" ajiingize kwenye mchakato wa kutengeneza serikali mpya au aunganishe nguvu na The king maker ili ED L aingie Jumba Kuu, then wagawane vipande vya keki mpaka FORBES waamishie ofisi zao dare es salaam.
 
Yeah..this is too much TANESCO kwa kweli, basi watoe ratiba angalau tuelewe, na kwa nini warudishe umeme usiku?? eti kuanzia saa saba usiku mpaka saa kumi na moja alfajiri, kwani si wanga!! Hii ina disturb sana kwa kweli

sijahuona umeme home since Jana asubuhi...its not fair at all .......foleni,no umeme,no water..agrrrrrrr
 
ccm oyeeee! mulichagua wenyewe chama hicho wadhungu wanasema as you make your bed you must lie on it!
 
Sakata la gesi Reginald Mengi Anameza Matapishi yake.
Nani ameshasahau habari za Richmond na the power of attorney behind Richmond? Nani ambaye hajui Ngeleja aliwekwa na nani kwenye wizara ya nishati? Au mmesahau Ngeleja ana historia gani na Fisadi Papa amabye R.A.Mengi alimtaja na kuingia ugomvi mkubwa kupitia vyombo vya habari? Nani amabaye hajui kwamba hiyo wizara ya nishati ni basket fund ya The King Maker himself?
leo hii Mengi anapo pitapita na kulia lia kana kwamba haoni uhusiano wa uwaziri wa wizara hiyo na the King Maker Himself anategemea nini? There is nothing Prof. Muhogo can help him kwenye hilo. Anachofanya ni kumeza matapishi yake alipojiingiza kwenye fitna na Fisadi Papa ambaye ana "call shots behind the scene" japo amejiuzuru siasa lakini contract yake bado iko valid mpaka 2015.
Cha msingi Mengi ajipange upya. Kama anataka awe ana "pull strings" ajiingize kwenye mchakato wa kutengeneza serikali mpya au aunganishe nguvu na The king maker ili ED L aingie Jumba Kuu, then wagawane vipande vya keki mpaka FORBES waamishie ofisi zao dare es salaam.

Mengi unamtaja kwa jina hao wengine unawaohopa nini. mara king maker. mara fisadi kuu mara Ed L. name them you coward
 
Ratiba ya Umeme ni kama walivyotangaxa mchana viwandani usiku majumbani hamna dogo mnalia nn?
 
Back
Top Bottom