MWANALUGALI
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 601
- 34
Uamuzi wa kesi zote hizo umeisha fikiwa na mahakama zetu ila hukumu zimepelekwa UWT Makao Makuu ili watoe ushauri kwa Mkulu kabla ya kufanyiwa editing na kusomwa! Lazima Magamba watuumize katika hili ili upepo wa kuwakataa Mawaziri wezi upite haraka, tunaanze kujadili uchakachuaji wa kesi!!!