Rate ya kutoolewa itaongezeka maradufu

Rate ya kutoolewa itaongezeka maradufu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,973
Vijana wengi hawaoi wala kuolewa sababu ya maisha magumu,tutegemee hali hii kuendelea kwa miaka mingine mitano, kama binti una miaka 30 hujaolewa ndio basi,pia kukataa mimba kutaongezeka sana ,hakuna hasiyependa mtoto ila maisha magumu yanatupelekea hivyo, mtusamehe wadada sio sisi ni maisha
 
ni hasara sana kuona vijana kupenda vya burebure.Mwanaume ni kula kwa jasho.sio kunywa viroba usubirie burebure badala ya kuchakarika
 
Fanyeni kazi punda nyie, tatizo mlizoea viroba vya offer sasa mnaona maisha magumu.
Piga mzigo lofa wewe.
 
hivi kupenda vya bure nako tunaita mabadiliko???. wewe ni mwanaume acha kulala usubirie vya bure chakarika!
Ahsante mrembo, aka dada wa mada nzito nzito.
By the way ebu anzisha mada kwa ajiri ya hawa vilaza wanataka vya bure.
 
Vijana wengi hawaoi wala kuolewa sababu ya maisha magumu,tutegemee hali hii kuendelea kwa miaka mingine mitano, kama binti una miaka 30 hujaolewa ndio basi,pia kukataa mimba kutaongezeka sana ,hakuna hasiyependa mtoto ila maisha magumu yanatupelekea hivyo, mtusamehe wadada sio sisi ni maisha

Hivi mambo ya kukataa mimba bado yapo?
Halaf mwanaume anaejielewa hakimbii majukumu. Sema wanaume wametofautiana wapo wanaojielewa na wapowasiojielewa.
 
Ahsante mrembo, aka dada wa mada nzito nzito.
By the way ebu anzisha mada kwa ajiri ya hawa vilaza wanataka vya bure.

kweli my dear maana wanakera sana hawa wanaume kulilia vya bure
 
kweli my dear maana wanakera sana hawa wanaume kulilia vya bure

Hao wa hivyo ata kitandani ni mzigo.Watabaki kubahatisha tu ilipo chanel "o" lakini kuietendea haki chanel "o" ni zero.
 
Hao wa hivyo ata kitandani ni mzigo.Watabaki kubahatisha tu ilipo chanel "o" lakini kuietendea haki chanel "o" ni zero.

Boss, hiyo mambo umesema ina-sound awkward balaa akiisema mwanaume, unless wewe sio.
 
Nina kadi tano za harusi, watu wanaoa na kuolewa, kama wewe umekosa bahati au umepigika usifanye majumuisho kwa wote!!
 
Back
Top Bottom