Kwa hiyo bado ww ni mdau wa Golden Goal?UEFA wamechemka kwa hili, walitakiwa waondeo goli la ugenini kwenye extra time tu
Anataka kusema kwamba ni chai??!Habari iko BBC, Skysports google utaiona.
Kwa maana hiyo kusiwe na extra time au??UEFA wamechemka kwa hili, walitakiwa waondeo goli la ugenini kwenye extra time tu
Kwa maana hiyo kusiwe na extra time au??
Hapana sikubaliani na Golden GoalKwa hiyo bado ww ni mdau wa Golden Goal?
Maana ni moja ya sheria zenye utata