chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 292
- 1,083
Wakuu habri zenu,-
Kwanza naomba msamaha kwenu, nimekosa, nimekosa mimi, nimekosa Sana.
Nilikuwa namtetea kwa mengi hapa jamvini huyu mama yatu, Mimi ni pro mama Samia damu.
Leo nimeamka asubuhi kwenye nyumba yangu mpya nakuta umeme umekata, nimehamia hapa wiki mbili tu zimepita. Nikasema ngoja ninunue umeme wa 10,000 ukawa unakataa. Nimejaribu Mara nyingi hatimaye nikawasiliana wa watu wa TANESCO.
Watu wa TANESCO wamenijibu kuwa nadaiwa Kodi ya jengo toka mwezi wa 7 mwaka Jana. Kiasi Kama elfu kumi na ushehe!!!!!! Shwainiiiii!!!! Yaani nyumba nijenge mwezi huu nidaiwe Kodi za mwaka Jana.
Hivi yaani nyie mnatuonaje sisi wananchi, wajinga na hatujielewi au? Hivi mkuu wa nchi ambaye namwimba kuwa kabadilisha nchi hili analijua? Na Kama hajui kwanini? Kweli tuko serious kutenda haki katika kusanya Kodi? Au ubabe tu?
Nimeanza kupoteza Imani kwake, nitakuwa mjinga Kama nashabikia maumivu ya watu wengine na kusifu kihinga kila Jambo, anakosea Sana, hawasimamii vyema watendaji wake.
Pokeni Sana kwa kuwakwaza wote nilikuwa nawatukana kwa kumkosoa mama yetu mpendwa!!!!! Nimekosa Sana Mimi
Kwanza naomba msamaha kwenu, nimekosa, nimekosa mimi, nimekosa Sana.
Nilikuwa namtetea kwa mengi hapa jamvini huyu mama yatu, Mimi ni pro mama Samia damu.
Leo nimeamka asubuhi kwenye nyumba yangu mpya nakuta umeme umekata, nimehamia hapa wiki mbili tu zimepita. Nikasema ngoja ninunue umeme wa 10,000 ukawa unakataa. Nimejaribu Mara nyingi hatimaye nikawasiliana wa watu wa TANESCO.
Watu wa TANESCO wamenijibu kuwa nadaiwa Kodi ya jengo toka mwezi wa 7 mwaka Jana. Kiasi Kama elfu kumi na ushehe!!!!!! Shwainiiiii!!!! Yaani nyumba nijenge mwezi huu nidaiwe Kodi za mwaka Jana.
Hivi yaani nyie mnatuonaje sisi wananchi, wajinga na hatujielewi au? Hivi mkuu wa nchi ambaye namwimba kuwa kabadilisha nchi hili analijua? Na Kama hajui kwanini? Kweli tuko serious kutenda haki katika kusanya Kodi? Au ubabe tu?
Nimeanza kupoteza Imani kwake, nitakuwa mjinga Kama nashabikia maumivu ya watu wengine na kusifu kihinga kila Jambo, anakosea Sana, hawasimamii vyema watendaji wake.
Pokeni Sana kwa kuwakwaza wote nilikuwa nawatukana kwa kumkosoa mama yetu mpendwa!!!!! Nimekosa Sana Mimi