GE2025 Rasmi, Mahakama yafuta amri ya Msajili wa vyama ya kuzuia ruzuku kwa CHADEMA na kutotambua viongozi

GE2025 Rasmi, Mahakama yafuta amri ya Msajili wa vyama ya kuzuia ruzuku kwa CHADEMA na kutotambua viongozi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Mahakama Kuu Kanda ya Manyara yafuta amri ya Msajili wa Vyama Vya Siasa ya kuzuia Ruzuku ya Chadema na kutowatambua Katibu Mkuu, Manaibu wake na Wajumbe Watano wa Kamati Kuu waliothibitishwa na Baraza Kuu Januari 22, 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu wa ndani ya Chama.

photo_2025-08-28_16-05-32.jpg
 
nilikua na wasiwasi na mahakama kuu ya nchi yetu
 
Mmh mimi siamini kabisa .. Mahakama ya nchi gani hiyo ? Kama ni hapa Tz hakuna mahakama yenye maamuzi hayo
Usiwe unaropoka wakati haupo well informed unasubili taarifa ITV saa mbili usiku.

 
Usiwe unaropoka wakati haupo well informed unasubili taarifa ITV saa mbili usiku.

Subiri✔️
 
Back
Top Bottom