TeamLowassa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 1,495
- 937
Wanabadiliko!
Inafahamika kuwa monduli kama wilaya ni moja ya 'stronghold' kubwa ya ccm. Leo ndio chaguzi/teuzi mbalimbali za kibunge na kidiwani za wana ccm zinafanyika nchini kote, ikiwemo Monduli kwa upana wake!
Ilizoeleka kuwa kipindi kama hiki shamrashamra za kisiasa ni nyingi sana maeneo hayo. Nyingi kama sio zote ni za ki ccm. Lakini leo hali imekuwa ni tofauti kabisa. Matumaini yote ya wana ccm yamegeuka na kuwa ya barafu. Yameganda. Shamrashamra hakuna!ile
Kumepoa sana! Ni kama vile watu wapo msibani! hakuna furaha! ccm yao imeuwawa na kitengo! sasa habari nzito nzito ni Lowassa na chadema tu! hakuna anaewaza kuhusu ccm kwa sasa!
Monduli nzima kwa sasa ni kama Arusha mjini. kitovu kuu za harakati za siasa za chadema. siku hiyo hiyo wakati Lowassa anahamia chadema, walipandisha bendera za chadema sehemu mbalimbali katika wilaya nzima ya Monduli.
Viva ukawa! Viva chadema! Viva Lowassa!
Inafahamika kuwa monduli kama wilaya ni moja ya 'stronghold' kubwa ya ccm. Leo ndio chaguzi/teuzi mbalimbali za kibunge na kidiwani za wana ccm zinafanyika nchini kote, ikiwemo Monduli kwa upana wake!
Ilizoeleka kuwa kipindi kama hiki shamrashamra za kisiasa ni nyingi sana maeneo hayo. Nyingi kama sio zote ni za ki ccm. Lakini leo hali imekuwa ni tofauti kabisa. Matumaini yote ya wana ccm yamegeuka na kuwa ya barafu. Yameganda. Shamrashamra hakuna!ile
Kumepoa sana! Ni kama vile watu wapo msibani! hakuna furaha! ccm yao imeuwawa na kitengo! sasa habari nzito nzito ni Lowassa na chadema tu! hakuna anaewaza kuhusu ccm kwa sasa!
Monduli nzima kwa sasa ni kama Arusha mjini. kitovu kuu za harakati za siasa za chadema. siku hiyo hiyo wakati Lowassa anahamia chadema, walipandisha bendera za chadema sehemu mbalimbali katika wilaya nzima ya Monduli.
Viva ukawa! Viva chadema! Viva Lowassa!
Zaidi ya wanachama mia tatu wa CCM kutoka jamii ya kifugaji katika kata ya Engaruka wilaya ya Monduli wamerudisha kadi za CCM na kujiunga na chadema huku wakidai maamuzi yao yametokana na utashi wao binafsi kwa kuzingatia hali halisi ya kisiasa ilivyo hivi sasa
ITV ilifika katika kijiji cha Engaruka na kushuhudia mamia ya wanachama waliyo kusanyika katika mkutano wa hadhara kukusanya kadi za CCM kuzichoma moto na kuchukua kadi za CHADEMA.
Kwa hali ya kisiasa ilivyo hapa Monduli ni wazi UKAWA wanatarajiwa kupata viti vyote vya udiwani,nafasi ya ubunge na mgombea Urais UKAWA Edward Lowassa anatarajiwa kupata ushindi wa 99% katika jimbo la Monduli.
![]()
![]()
![]()