Wanitakiani
JF-Expert Member
- Apr 18, 2008
- 641
- 135
where is the full document? hayo maeneo yote uliyoyagusia ni vague, the team did not do their work properly.
Pamoja na kwamba mimi binafsi sijaiona hiyo rasimu a Katiba mpya, kama alivyowasilisha mleta mada, nimevutiwa na mapendekezo ya kuwa na:
1. Baraza dogo la mawaziri wasiozidi 15 na wasitokane na Wabunge, sawa kabisa!
2. Spika na Naibu Spika wasitokane na Wabunge na wasitokane na vyama vya siasa, sawa kabisa!
3. Mawaziri, makatibu wakuu, Jaji Mkuu etc wathibitishwe na Bunge, sawa kabisa!
4. Jimbo likibaki wazi kusiwe na uchaguzi mdogo badala yake chama kilichopoteza kijaze nafasi hiyo, sawa kabisa!
Isipokuwa nakubaliana na mleta mada hii kuwa:
1. si sahihi Rais kuwa juu ya sheria, ashitakiwe kwa makosa ya uvunjaji sheria
2. si sahihi Mbunge akifukuzwa kwenye chama chake abaki na ubunge wake, akifukuzwa apoteze ubunge
Hayo ni maoni yangu pia.