Rashid YEKINI reported dead, sad NEWS

OOh God! RIP Rashid Yekini

yaani machozi yamenitoka duh! sote tu njia moja nakumbuka enzi za uhai wake ndani ya super eagle kina

Amokachi, Babayaro, Tariboteribo West, Rashid Yekini, Babangida, Okocha,....
 
Nakumbuka World Cup '94. Huyu Yekini aling'ara mno kipindi kile. Manager wa Super Eagles akiwa Clemens Westerhof; Super Eagles ilikaribia kuingia Quarter Finals, juhudi zao hazikuzaa matunda baada ya Roberto Baggio wa Italia kufunga goli la ushindi. Tutakukumbuka daima Rashid Yekini.
 
OOh God! RIP Rashid Yekini

yaani machozi yamenitoka duh! sote tu njia moja nakumbuka enzi za uhai wake ndani ya super eagle kina

Amokachi, Babayaro, Tariboteribo West, Rashid Yekini, Babangida, Okocha,....

Pamoja na George Finidi, Amunike, Daniel Amokachi n.k.
 
Nimesikia kwenye habari asubuhi.

Nasikia jamaa mwisho alikuwa chizi kabisa.

RIP Yekini
 
Mchezaji bora na mshangiliaji maarufu wa soka Africa Rashdi Yekini hatunaye tene.Zaidi tembelea.Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.AMINA

MICHUZI
 
RIP Yekini,
Bado
mimi na wewe.

Tusihadaike na hii dunia kwani ni mapito tuu..
 
Kifo cha Yekini kiwe chanzo cha wa-Nigeria kuibua vipaji vipya maana vipo kama tu vikipewa nafasi.Poleni Nigeria,poleni wapenda soka wote duniani.
 
Akili yako ni sawa na maiti!
Kwani hapa ni jukwaa
la sport? Acha upuzi wewe
 
Rashidi Yekini one of Nigeria's legendary footballer has died at the age of 48 years on the 4th of May 2012."Yekini was born in Kaduna. After starting his professional career in the Nigerian league, he moved to Côte d'Ivoire to play for Africa Sports National. From there he went to Portugal and Vitória de Setúbal, where he experienced his most memorable years, eventually becoming the Portuguese first division's top scorer, in 1993–94, as his performances (32 matches, 34 goals) earned him the title of African Footballer of the Year in 1993, the first ever from the nation.
In the 1994 summer, Yekini was bought by Olympiacos FC, but did not get along with teammates and left. His career never really got back on track, not even upon a return to Setúbal, which happened after another unassuming spell, in La Liga with Sporting de Gijón. He successively played with FC Zürich, Club Athlétique Bizertin and Al-Shabab Riyadh, before rejoining Africa Sports. In 2003, at 39, he returned to the Nigerian championship with Julius Berger FC.In 2005, 41-year old Yekini made a short comeback, moving alongside former national teammate Mobi Oparaku to Gateway FC in Abeokuta, Ogun State, Nigeria".(www.wikpedia.org)He was reportedly sick for a while . One of Africa's greatest footballers, he was said to have suffered a neurological illness which hinges on belief that is pathological and held, despite evidence to the contrary.. The two-time African footballer of the year was said to have been walking the streets of Ibadan barefooted, and suffered delusions. Yekini lived alone in his house, had a few tenants and rarely gets visitors. Since his marriage crashed in 1994, he hasn't remarried but has two children who visit him on holidays. Neighbors at his Oni and Sons Ring Road residence in Ibadan,Oyo State, Nigeria said he acted strange for a while,He was always seen talking to himself. Sources say sometime late in 2010, Yekini, in the full glare of neighbors, brought out his belongings and allegedly set it on fire chidi.jpg
 
Back
Top Bottom