Hilo nakataa, suala la uwizi upolaji na kadhalika ni hulka za mtu. Niwakumbushe matumla mwenyewe ni street boy, ambaye hata kuingia kwenye ndondi ni ule uhuni wake wa mtaani. Sasa tusiwe waoga kama issue iko wazi, basi tulijulishe jeshi la polisi ili liweke mtego.Kama angezaa watoto ambao angeweza kumudu gharama za elimu yao , hali ingekuwa tofauti , kwa mtu masikini kama Rashidi kumiliki watoto 15 ni kujitakia balaa tu
Huko hasira inatokea wapi hata kichuri hawanywi wao wanachoma pweza na vijiti wanatowezea kwenye pilipili kisha wanamalizia na mahindi ya kuchoma wanashushia na maji ya KandoroKwani huko hakuna WANAINCHI WENYE HASIRA?
Kumbe, afadhari watakaa na Yesu siku ikifika kuliko wale watembea uchi posta na mlimani cityVijana wa huko wengi wanaujuzi na ni wataalamu wa kuhifadhi Juzuu , hushindana kuhudhuria madrasa
Duuuh Kwahiyo wanaukomesha mfumo kristu?Hata huko Kibiti wamejaa wahifadhi juzuu a.k.a swala 5 lakini wanayofanya ni kinyume kabisa
Duuuh Kwahiyo wanaukomesha mfumo kristu?
Sasa hao wahifadhi kuruani wachache tu wa huko wanakinukisha hv je wote nchi nzima wakiamua nao wawaunge mkono itakuwaje?Kweli kabisa
Sasa hao wahifadhi kuruani wachache tu wa huko wanakinukisha hv je wote nchi nzima wakiamua nao wawaunge mkono itakuwaje?